1 Mambo ya Nyakati 6:57 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 57 Na wazao wa Haruni walipewa majiji haya ya* makimbilio:+ Hebroni,+ na pia Libna+ na malisho yake, Yatiri,+ Eshtemoa na malisho yake,+ 1 Mambo ya Nyakati 6:60 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 60 na kutoka katika kabila la Benjamini, Geba+ na malisho yake, Alemethi na malisho yake, na Anathothi+ na malisho yake. Majiji yao yote kwa ajili ya koo zao yalikuwa majiji 13.+
57 Na wazao wa Haruni walipewa majiji haya ya* makimbilio:+ Hebroni,+ na pia Libna+ na malisho yake, Yatiri,+ Eshtemoa na malisho yake,+
60 na kutoka katika kabila la Benjamini, Geba+ na malisho yake, Alemethi na malisho yake, na Anathothi+ na malisho yake. Majiji yao yote kwa ajili ya koo zao yalikuwa majiji 13.+