Yoshua 21:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Hivyo Waisraeli wakawapa Walawi majiji hayo na malisho yake kwa kura kama Yehova alivyokuwa ameamuru kupitia Musa.+ Yoshua 21:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Na katika eneo la kabila la Gadi:+ jiji la makimbilio kwa ajili ya muuaji, yaani, jiji la Ramothi kule Gileadi+ na malisho yake, Mahanaimu+ na malisho yake, 1 Mambo ya Nyakati 6:77 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 77 Wamerari waliobaki walipewa kutoka katika kabila la Zabuloni,+ Rimono na malisho yake, Tabori na malisho yake; 1 Mambo ya Nyakati 6:80 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 80 na kutoka katika kabila la Gadi, Ramothi kule Gileadi na malisho yake, Mahanaimu+ na malisho yake,
8 Hivyo Waisraeli wakawapa Walawi majiji hayo na malisho yake kwa kura kama Yehova alivyokuwa ameamuru kupitia Musa.+
38 Na katika eneo la kabila la Gadi:+ jiji la makimbilio kwa ajili ya muuaji, yaani, jiji la Ramothi kule Gileadi+ na malisho yake, Mahanaimu+ na malisho yake,
77 Wamerari waliobaki walipewa kutoka katika kabila la Zabuloni,+ Rimono na malisho yake, Tabori na malisho yake;
80 na kutoka katika kabila la Gadi, Ramothi kule Gileadi na malisho yake, Mahanaimu+ na malisho yake,