Mwanzo 32:1, 2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Kisha Yakobo akaendelea na safari yake, na malaika wa Mungu wakakutana naye. 2 Mara tu alipowaona, Yakobo akasema: “Hii ni kambi ya Mungu!” Kwa hiyo akapaita mahali hapo Mahanaimu.* 2 Samweli 2:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Lakini Abneri+ mwana wa Neri mkuu wa jeshi la Sauli, alikuwa amemchukua Ish-boshethi,+ mwana wa Sauli, akamvusha mpaka Mahanaimu+
32 Kisha Yakobo akaendelea na safari yake, na malaika wa Mungu wakakutana naye. 2 Mara tu alipowaona, Yakobo akasema: “Hii ni kambi ya Mungu!” Kwa hiyo akapaita mahali hapo Mahanaimu.*
8 Lakini Abneri+ mwana wa Neri mkuu wa jeshi la Sauli, alikuwa amemchukua Ish-boshethi,+ mwana wa Sauli, akamvusha mpaka Mahanaimu+