Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 4:5-8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Rekabu na Baana, wana wa Rimoni Mbeerothi, walienda nyumbani kwa Ish-boshethi mchana wakati wa jua kali, alipokuwa akipumzika adhuhuri. 6 Wakaingia nyumbani mwake kana kwamba wamekuja kuchukua ngano, wakampiga tumboni; kisha Rekabu na Baana+ ndugu yake wakakimbia. 7 Walipoingia nyumbani, alikuwa amelala kitandani mwake katika chumba chake cha kulala, wakampiga na kumuua, kisha wakamkata kichwa. Halafu wakakichukua na kutembea usiku kucha kwenye barabara inayoenda Araba. 8 Wakamletea Daudi kichwa cha Ish-boshethi+ huko Hebroni na kumwambia mfalme: “Ndicho hiki kichwa cha Ish-boshethi mwana wa Sauli adui yako+ aliyetaka kukuua.+ Leo hii Yehova amekulipizia kisasi bwana wangu mfalme dhidi ya Sauli na wazao wake.”

  • 2 Samweli 4:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kisha Daudi akawaamuru vijana wake wawaue.+ Wakawakata mikono na miguu yao na kuwatundika+ kando ya kidimbwi kilicho Hebroni. Lakini wakachukua kichwa cha Ish-boshethi na kukizika katika kaburi la Abneri huko Hebroni.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki