2 Samweli 4:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Wakati walipoingia katika ile nyumba, alikuwa amelala kitandani mwake katika chumba chake cha kulala cha ndani, ndipo wakampiga, wakamuua,+ kisha wakakikata kichwa+ chake na kukichukua, wakatembea barabarani mpaka Araba usiku kucha.
7 Wakati walipoingia katika ile nyumba, alikuwa amelala kitandani mwake katika chumba chake cha kulala cha ndani, ndipo wakampiga, wakamuua,+ kisha wakakikata kichwa+ chake na kukichukua, wakatembea barabarani mpaka Araba usiku kucha.