8 Mwishowe wakamletea Daudi kichwa cha Ish-boshethi,+ akiwa Hebroni, wakamwambia mfalme: “Tazama, kichwa cha Ish-boshethi mwana wa Sauli adui+ yako aliyeitafuta nafsi yako;+ lakini leo hii Yehova amemlipizia kisasi+ bwana wangu mfalme juu ya Sauli na uzao wake.”