1 Samweli 18:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ndipo Sauli akautupa mkuki+ na kusema: “Nitampigilia Daudi ukutani!”+ lakini Daudi akakwepa kutoka mbele yake, mara mbili.+ 1 Samweli 18:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Na Sauli akaogopa zaidi tena kwa sababu ya Daudi, Sauli akawa adui ya Daudi sikuzote.+ 1 Samweli 19:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Lakini Yonathani mwana wa Sauli alipendezwa sana na Daudi.+ Kwa hiyo Yonathani akamwambia Daudi, akisema: “Sauli baba yangu anatafuta kukuua. Basi sasa jilinde, tafadhali, wakati wa asubuhi, nawe ukae mahali pa siri na ujifiche.+
11 Ndipo Sauli akautupa mkuki+ na kusema: “Nitampigilia Daudi ukutani!”+ lakini Daudi akakwepa kutoka mbele yake, mara mbili.+
2 Lakini Yonathani mwana wa Sauli alipendezwa sana na Daudi.+ Kwa hiyo Yonathani akamwambia Daudi, akisema: “Sauli baba yangu anatafuta kukuua. Basi sasa jilinde, tafadhali, wakati wa asubuhi, nawe ukae mahali pa siri na ujifiche.+