1 Samweli 20:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Na Daudi akakimbia+ kutoka Naiothi katika Rama. Hata hivyo, akaja na kusema mbele ya Yonathani: “Nimefanya nini?+ Kosa langu ni nini, nami nimetenda dhambi gani mbele ya baba yako, kwa maana anaitafuta nafsi yangu?” 1 Samweli 20:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Ndipo Sauli akamtupia mkuki, ili ampige;+ na Yonathani akajua kwamba baba yake alikuwa ameazimia kumuua Daudi.+ 1 Samweli 23:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Na Daudi akaendelea kuogopa kwa sababu Sauli alikuwa ametoka ili kuitafuta nafsi yake, Daudi alipokuwa katika nyika ya Zifu kule Horeshi.+
20 Na Daudi akakimbia+ kutoka Naiothi katika Rama. Hata hivyo, akaja na kusema mbele ya Yonathani: “Nimefanya nini?+ Kosa langu ni nini, nami nimetenda dhambi gani mbele ya baba yako, kwa maana anaitafuta nafsi yangu?”
33 Ndipo Sauli akamtupia mkuki, ili ampige;+ na Yonathani akajua kwamba baba yake alikuwa ameazimia kumuua Daudi.+
15 Na Daudi akaendelea kuogopa kwa sababu Sauli alikuwa ametoka ili kuitafuta nafsi yake, Daudi alipokuwa katika nyika ya Zifu kule Horeshi.+