Hesabu 35:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “Majiji mtakayowapa Walawi yatakuwa majiji 6 ya makimbilio+ ili mtu anayemuua mwenzake akimbilie humo,+ pia mtawapa majiji mengine 42. Hesabu 35:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Majiji hayo sita yatakuwa majiji ya makimbilio kwa ajili ya Waisraeli, kwa ajili ya wageni,+ na kwa ajili ya wahamiaji wanaoishi miongoni mwenu, ili mtu yeyote anayemuua mwenzake bila kukusudia akimbilie humo.+
6 “Majiji mtakayowapa Walawi yatakuwa majiji 6 ya makimbilio+ ili mtu anayemuua mwenzake akimbilie humo,+ pia mtawapa majiji mengine 42.
15 Majiji hayo sita yatakuwa majiji ya makimbilio kwa ajili ya Waisraeli, kwa ajili ya wageni,+ na kwa ajili ya wahamiaji wanaoishi miongoni mwenu, ili mtu yeyote anayemuua mwenzake bila kukusudia akimbilie humo.+