13 Jihadharini msitoe dhabihu za kuteketezwa mahali pengine popote mtakapoona.+14 Mnapaswa kutoa dhabihu zenu za kuteketezwa mahali tu ambapo Yehova atachagua katika mojawapo ya maeneo ya makabila yenu, na huko ndiko mtakapofanya yote ninayowaamuru ninyi.+