Kutoka 23:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Nitawafukuza hatua kwa hatua kutoka mbele yenu, mpaka mtakapoongezeka na kuwa wengi na kuimiliki nchi hiyo.+ Kutoka 33:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Nitamtuma malaika awatangulie+ na kuwafukuza Wakanaani, Waamori, Wahiti, Waperizi, Wahivi, na Wayebusi.+ Kumbukumbu la Torati 11:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Yehova atayafukuza mataifa haya yote kutoka mbele yenu,+ nanyi mtamiliki nchi ya mataifa makubwa zaidi na yenye watu wengi kuliko ninyi.+
30 Nitawafukuza hatua kwa hatua kutoka mbele yenu, mpaka mtakapoongezeka na kuwa wengi na kuimiliki nchi hiyo.+
2 Nitamtuma malaika awatangulie+ na kuwafukuza Wakanaani, Waamori, Wahiti, Waperizi, Wahivi, na Wayebusi.+
23 Yehova atayafukuza mataifa haya yote kutoka mbele yenu,+ nanyi mtamiliki nchi ya mataifa makubwa zaidi na yenye watu wengi kuliko ninyi.+