65 Kwa maana Yehova alikuwa amesema hivi kuwahusu: “Ni lazima wafe nyikani.”+ Kwa hiyo hakuna mwanamume hata mmoja kati yao aliyebaki isipokuwa Kalebu mwana wa Yefune na Yoshua mwana wa Nuni.+
14 Tulitembea kwa miaka 38 kutoka Kadesh-barnea mpaka tulipovuka Bonde la Zeredi, mpaka kizazi chote cha wanaume wa vita kilipoangamia kutoka kambini, kama Yehova alivyokuwa amewaapia.+