Kutoka 19:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Mlima Sinai ulifuka moshi kila mahali, kwa sababu Yehova alishuka juu yake katika moto;+ na moshi huo ulikuwa ukipaa kama moshi wa tanuru,* na mlima wote ulikuwa ukitetemeka kwa nguvu sana.+ Nehemia 9:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Nawe ukashuka kwenye Mlima Sinai+ ukazungumza nao kutoka mbinguni+ na kuwapa hukumu za uadilifu, sheria za kweli,* masharti bora na amri bora.+
18 Mlima Sinai ulifuka moshi kila mahali, kwa sababu Yehova alishuka juu yake katika moto;+ na moshi huo ulikuwa ukipaa kama moshi wa tanuru,* na mlima wote ulikuwa ukitetemeka kwa nguvu sana.+
13 Nawe ukashuka kwenye Mlima Sinai+ ukazungumza nao kutoka mbinguni+ na kuwapa hukumu za uadilifu, sheria za kweli,* masharti bora na amri bora.+