Waamuzi 3:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Baada ya hapo nchi ikawa na amani* kwa miaka 40. Kisha Othnieli mwana wa Kenasi akafa. Waamuzi 5:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Maadui wako wote na waangamie,+ Ee Yehova,Lakini wanaokupenda na wawe kama jua linalochomoza katika utukufu wake.” Na nchi ikawa na amani* kwa miaka 40.+
31 Maadui wako wote na waangamie,+ Ee Yehova,Lakini wanaokupenda na wawe kama jua linalochomoza katika utukufu wake.” Na nchi ikawa na amani* kwa miaka 40.+