15Nchi ambayo watu wa kabila la Yuda waligawiwa*+ kwa ajili ya koo zao ilifika kwenye mpaka wa Edomu,+ nyika ya Zini, hadi upande wa kusini kabisa wa Negebu.
9 Kabila la Yuda lilikuwa na eneo kubwa sana, basi wazao wa Simeoni waligawiwa sehemu ya eneo hilo. Hivyo wazao wa Simeoni walipata urithi katikati ya kabila la Yuda.+