Yoshua 21:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Hivyo Waisraeli wakawapa Walawi majiji hayo na malisho yake kwa kura kama Yehova alivyokuwa ameamuru kupitia Musa.+ Yoshua 21:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Na katika eneo la nusu ya kabila la Manase: Taanaki+ na malisho yake na Gath-rimoni na malisho yake—majiji mawili. Waamuzi 5:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Wafalme walikuja, wakapigana vita;Wafalme wa Kanaani wakapigana+Huko Taanaki, kando ya maji ya Megido.+ Hawakuchukua fedha kama nyara.+
8 Hivyo Waisraeli wakawapa Walawi majiji hayo na malisho yake kwa kura kama Yehova alivyokuwa ameamuru kupitia Musa.+
25 Na katika eneo la nusu ya kabila la Manase: Taanaki+ na malisho yake na Gath-rimoni na malisho yake—majiji mawili.
19 Wafalme walikuja, wakapigana vita;Wafalme wa Kanaani wakapigana+Huko Taanaki, kando ya maji ya Megido.+ Hawakuchukua fedha kama nyara.+