19 Mtakapofika karibu na Waamoni, msiwachokoze wala kuzozana nao, kwa sababu sitawapa ninyi nchi yoyote ya Waamoni ili mwimiliki, kwa kuwa nimewapa wazao wa Loti waimiliki.+
37 Hata hivyo, hamkukaribia nchi ya Waamoni,+ ukingo wote wa Bonde* la Yaboki+ na majiji yaliyo kwenye eneo lenye milima, wala eneo lingine lolote tulilokatazwa na Yehova Mungu wetu.