Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 19:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Kwa hiyo mabinti wote wawili wa Loti wakapata mimba kutoka kwa baba yao.

  • Mwanzo 19:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 Yule mdogo pia alizaa mwana, akampa jina Ben-ami. Yeye ndiye baba ya Waamoni+ wa leo.

  • Kumbukumbu la Torati 2:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Ndipo Yehova akaniambia, ‘Msizozane wala kupigana na Wamoabu, kwa sababu sitawapa ninyi sehemu yoyote ya nchi yao ili mwimiliki kwa sababu nimewapa wazao wa Loti+ nchi ya Ari ili waimiliki.

  • Waamuzi 11:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 ili wamwambie:

      “Yeftha anasema hivi: ‘Waisraeli hawakuchukua nchi ya Wamoabu+ wala nchi ya Waamoni,+

  • 2 Mambo ya Nyakati 20:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Sasa tazama, ndio hawa wanaume wa Amoni, Moabu, na eneo lenye milima la Seiri,+ ambao hukuwaruhusu Waisraeli wawavamie walipotoka nchini Misri. Waligeuka na kwenda mbali nao na hawakuwaangamiza.+

  • Matendo 17:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Naye alifanyiza kila taifa la watu kutoka kwa mtu mmoja+ ili wakae juu ya uso wa dunia nzima,+ na akaamuru nyakati na kuweka mipaka ya makao ya watu,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki