Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 2:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Mtakapofika karibu na Waamoni, msiwachokoze wala kuzozana nao, kwa sababu sitawapa ninyi nchi yoyote ya Waamoni ili mwimiliki, kwa kuwa nimewapa wazao wa Loti waimiliki.+

  • Waamuzi 11:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Baada ya muda, Waamoni wakapigana na Waisraeli.+

  • Nehemia 13:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Siku hiyo kitabu cha Musa kilisomwa watu wote wakisikia,+ na wakaona imeandikwa kwamba Mwamoni au Mmoabu+ hapaswi kamwe kuingia katika kutaniko la Mungu wa kweli,+

  • Sefania 2:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Kwa hiyo, kwa hakika kama ninavyoishi,” asema Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli,

      “Moabu itakuwa tu kama Sodoma,+

      Na Waamoni kama Gomora,+

      Mahali penye upupu, shimo la chumvi, na nchi iliyoachwa ukiwa milele.+

      Watu wangu waliobaki watawapora,

      Na watu waliobaki wa taifa langu watamiliki nchi yao.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki