Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 23:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Nitawafanya Wahivi, Wakanaani, na Wahiti wavunjike moyo* kabla hamjafika,+ nao watawakimbia.+

  • Kutoka 34:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “Sikilizeni mambo ninayowaamuru leo.+ Tazama, ninawafukuza Waamori, Wakanaani, Wahiti, Waperizi, Wahivi, na Wayebusi+ kutoka mbele yenu.

  • Hesabu 33:53
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 53 Mtaimiliki nchi hiyo na kuishi humo, kwa maana hakika nitawapa nchi hiyo ili mwimiliki.+

  • Kumbukumbu la Torati 9:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Hamwendi kumiliki nchi yao kwa sababu ya uadilifu wenu au unyoofu wa mioyo yenu. Badala yake, Yehova Mungu wenu anayafukuza mataifa hayo kutoka mbele yenu+ kwa sababu ya uovu wao na ili Yehova atimize neno alilowaapia mababu zenu, Abrahamu,+ Isaka,+ na Yakobo.+

  • Kumbukumbu la Torati 18:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kwa maana mtu yeyote anayefanya mambo haya ni chukizo kwa Yehova, na kwa sababu ya mazoea haya yanayochukiza, Yehova Mungu wenu anayafukuza mataifa hayo kutoka mbele yenu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki