Kumbukumbu la Torati 7:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Yehova Mungu wenu atawafanya wavunjike moyo* mpaka watakapoangamia wale waliobaki+ na waliokuwa wakijificha ili msiwapate. Yoshua 2:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Tuliposikia hayo, tulikufa moyo,* na hakuna yeyote aliye na ujasiri kwa sababu yenu, kwa kuwa Yehova Mungu wenu ni Mungu juu mbinguni na chini duniani.+
20 Yehova Mungu wenu atawafanya wavunjike moyo* mpaka watakapoangamia wale waliobaki+ na waliokuwa wakijificha ili msiwapate.
11 Tuliposikia hayo, tulikufa moyo,* na hakuna yeyote aliye na ujasiri kwa sababu yenu, kwa kuwa Yehova Mungu wenu ni Mungu juu mbinguni na chini duniani.+