6 “Watatengeneza efodi kwa dhahabu, nyuzi za bluu, sufu ya rangi ya zambarau, kitambaa cha rangi nyekundu, na kitani bora kilichosokotwa, nacho kinapaswa kutariziwa.+
27 Basi Gideoni akatumia dhahabu hiyo kutengeneza efodi*+ na kuiweka hadharani katika jiji lake la Ofra;+ na huko Waisraeli wote wakafanya nayo ukahaba wa kiroho,+ ikawa mtego kwa Gideoni na kwa nyumba yake.+