Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 13:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Lakini nabii huyo au mwotaji huyo wa ndoto anapaswa kuuawa,+ kwa sababu aliwachochea mmwasi Yehova Mungu wenu—aliyewatoa nchini Misri na kuwakomboa kutoka katika nyumba ya utumwa—ili mtoke katika njia ambayo Yehova Mungu wenu amewaamuru mtembee. Nanyi lazima mwondoe kilicho kiovu kutoka miongoni mwenu.+

  • Kumbukumbu la Torati 17:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Mikono ya mashahidi inapaswa kuwa ya kwanza kumuua, kisha mikono ya watu wengine wote. Ni lazima mwondoe uovu miongoni mwenu.+

  • Kumbukumbu la Torati 22:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 “Mwanamume akipatikana akifanya ngono na mke wa mwanamume mwingine, ni lazima wote wawili wauawe pamoja, mwanamume huyo pamoja na mwanamke aliyefanya naye ngono.+ Kwa hiyo ni lazima mwondoe uovu katika Israeli.

  • 1 Wakorintho 5:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Kujisifu kwenu hakufai. Je, hamjui kwamba chachu* kidogo huchachisha donge lote?+

  • 1 Wakorintho 5:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 huku Mungu akiwahukumu wale walio nje?+ “Mwondoeni mtu mwovu miongoni mwenu.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki