Kutoka 23:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Hampaswi kufanya agano pamoja nao wala na miungu yao.+ Kumbukumbu la Torati 7:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Yehova Mungu wenu atawatia watu hao mikononi mwenu, nanyi mtawashinda.+ Mnapaswa kuwaangamiza kabisa.+ Msifanye agano lolote pamoja nao wala kuwahurumia.+ 2 Wakorintho 6:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Msifungwe nira* isivyo sawa pamoja na wasio waamini.+ Kwa maana kuna ushirika gani kati ya uadilifu na uasi sheria?+ Au nuru ina ushirika gani na giza?+
2 Yehova Mungu wenu atawatia watu hao mikononi mwenu, nanyi mtawashinda.+ Mnapaswa kuwaangamiza kabisa.+ Msifanye agano lolote pamoja nao wala kuwahurumia.+
14 Msifungwe nira* isivyo sawa pamoja na wasio waamini.+ Kwa maana kuna ushirika gani kati ya uadilifu na uasi sheria?+ Au nuru ina ushirika gani na giza?+