Mambo ya Walawi 5:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 “‘Au mtu akiapa kufanya jambo fulani bila kufikiri—jambo lolote lile, jema au baya—lakini baadaye atambue kwamba ameapa bila kufikiri, atakuwa na hatia atakapojua jambo hilo.*+ Mambo ya Walawi 19:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Msiape kwa uwongo kwa jina langu+ na hivyo kulichafua jina la Mungu wenu. Mimi ni Yehova. Mathayo 5:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 “Tena mlisikia kwamba zamani watu waliambiwa: ‘Usikose kutimiza kiapo chako,+ unapaswa kutimiza nadhiri zako kwa Yehova.’*+
4 “‘Au mtu akiapa kufanya jambo fulani bila kufikiri—jambo lolote lile, jema au baya—lakini baadaye atambue kwamba ameapa bila kufikiri, atakuwa na hatia atakapojua jambo hilo.*+
33 “Tena mlisikia kwamba zamani watu waliambiwa: ‘Usikose kutimiza kiapo chako,+ unapaswa kutimiza nadhiri zako kwa Yehova.’*+