Waamuzi 17:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Siku hizo hakukuwa na mfalme katika Israeli.+ Kila mtu alifanya jambo aliloona ni jema machoni pake.*+ 1 Samweli 8:4, 5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Baada ya muda wazee wote wa Waisraeli walikusanyika pamoja na kuja kumwona Samweli huko Rama. 5 Wakamwambia: “Tazama! Umezeeka, lakini wana wako hawatembei katika njia zako. Basi tuchagulie mfalme awe mwamuzi wetu kama mataifa mengine yote.”+
6 Siku hizo hakukuwa na mfalme katika Israeli.+ Kila mtu alifanya jambo aliloona ni jema machoni pake.*+
4 Baada ya muda wazee wote wa Waisraeli walikusanyika pamoja na kuja kumwona Samweli huko Rama. 5 Wakamwambia: “Tazama! Umezeeka, lakini wana wako hawatembei katika njia zako. Basi tuchagulie mfalme awe mwamuzi wetu kama mataifa mengine yote.”+