3 Ninyi wenyewe mmeona mambo yote ambayo Yehova Mungu wenu aliyatendea mataifa haya yote kwa ajili yenu, kwa sababu Yehova Mungu wenu ndiye aliyekuwa akiwapigania.+
31 Waisraeli waliendelea kumtumikia Yehova siku zote za Yoshua na sikuzote za wazee walioendelea kuishi baada ya Yoshua kufa ambao walikuwa wameona mambo yote makuu ambayo Yehova aliwatendea Waisraeli.+