2 Kumbukeni njia ndefu ambayo Yehova Mungu wenu alifanya mtembee nyikani kwa miaka hii 40,+ ili awanyenyekeze na kuwajaribu+ ili ajue yaliyokuwa mioyoni mwenu,+ aone kama mngezishika amri zake au la.
10 Na watu wote wa kizazi hicho wakafa na kuzikwa kama walivyozikwa mababu zao,* na kizazi kingine kikatokea ambacho hakikumjua Yehova wala mambo aliyowafanyia Waisraeli.