Waamuzi 1:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Wala Waefraimu hawakuwafukuza Wakanaani waliokaa Gezeri. Wakanaani waliendelea kukaa kati yao huko Gezeri.+ Zaburi 106:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Hawakuyaangamiza mataifa,+Kama Yehova alivyokuwa amewaamuru.+
29 Wala Waefraimu hawakuwafukuza Wakanaani waliokaa Gezeri. Wakanaani waliendelea kukaa kati yao huko Gezeri.+