Yoshua 16:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Lakini hawakuwafukuza Wakanaani waliokuwa wakikaa Gezeri,+ na tangu wakati huo Wakanaani wanaishi miongoni mwa wazao wa Efraimu+ wakifanya kazi za kulazimishwa.+ Yoshua 17:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Lakini wazao wa Manase hawakumiliki majiji hayo; Wakanaani waliendelea kukaa katika nchi hiyo.+ Waamuzi 1:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Lakini Wabenjamini hawakuwafukuza Wayebusi waliokaa Yerusalemu, kwa hiyo Wayebusi wanakaa na Wabenjamini jijini Yerusalemu mpaka leo.+
10 Lakini hawakuwafukuza Wakanaani waliokuwa wakikaa Gezeri,+ na tangu wakati huo Wakanaani wanaishi miongoni mwa wazao wa Efraimu+ wakifanya kazi za kulazimishwa.+
21 Lakini Wabenjamini hawakuwafukuza Wayebusi waliokaa Yerusalemu, kwa hiyo Wayebusi wanakaa na Wabenjamini jijini Yerusalemu mpaka leo.+