16 Lakini Ruthu akasema: “Usinisihi nikuache, nirudi na kuacha kukufuata; kwa maana mahali utakapoenda nitaenda, na mahali utakapolala usiku hapo ndipo nitakapolala pia. Watu wako watakuwa watu wangu, na Mungu wako atakuwa Mungu wangu.+
22 Hivyo ndivyo Naomi alivyorudi kutoka katika mashamba ya Moabu+ pamoja na Ruthu, binti mkwe wake Mmoabu. Walifika Bethlehemu mwanzoni mwa mavuno ya shayiri.+