6 Yehova alipita mbele yake akitangaza: “Mimi Yehova, Yehova, ni Mungu mwenye rehema+ na huruma,*+ si mwepesi wa hasira,+ nina upendo mwingi mshikamanifu*+ na kweli,*+
8 Naomi akawaambia: “Nendeni, rudini kila mmoja wenu nyumbani kwa mama yake. Yehova na awatendee kwa upendo mshikamanifu,+ kama tu mlivyowatendea waume zenu ambao wamekufa na kama mlivyonitendea mimi.