Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 34:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Yehova alipita mbele yake akitangaza: “Mimi Yehova, Yehova, ni Mungu mwenye rehema+ na huruma,*+ si mwepesi wa hasira,+ nina upendo mwingi mshikamanifu*+ na kweli,*+

  • Ruthu 1:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Naomi akawaambia: “Nendeni, rudini kila mmoja wenu nyumbani kwa mama yake. Yehova na awatendee kwa upendo mshikamanifu,+ kama tu mlivyowatendea waume zenu ambao wamekufa na kama mlivyonitendea mimi.

  • Zaburi 36:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Jinsi upendo wako mshikamanifu ulivyo na thamani sana, Ee Mungu!+

      Katika kivuli cha mabawa yako,

      Wanadamu hukimbilia.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki