6 Yehova alipita mbele yake akitangaza: “Mimi Yehova, Yehova, ni Mungu mwenye rehema+ na huruma,*+ si mwepesi wa hasira,+ nina upendo mwingi mshikamanifu*+ na kweli,*+
20 Basi Naomi akamwambia binti mkwe wake: “Na abarikiwe na Yehova, ambaye hajawahi kamwe kukosa kuwatendea kwa upendo mshikamanifu walio hai na waliokufa.”+ Naomi akaendelea kusema: “Mwanamume huyo ni mtu wetu wa ukoo.+ Yeye ni kati ya watu wanaoweza kutukomboa.”*+