Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 23:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 mali ya Abrahamu aliyoinunua mbele ya wana wa Hethi, mbele ya wote walioingia katika lango la jiji lake.

  • Ruthu 4:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Niliona nikufahamishe jambo hilo na kukwambia, ‘Linunue mbele ya wakaaji na wazee wa watu wangu.+ Ikiwa utalikomboa, likomboe. Lakini ikiwa hutalikomboa, niambie ili nijue, kwa maana una haki ya kulikomboa, mimi ni wa pili.’” Mtu huyo akasema: “Niko tayari kulikomboa.”+

  • Yeremia 32:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 kisha nikampa hati hiyo ya ununuzi Baruku+ mwana wa Neria+ mwana wa Mahseya mbele ya Hanameli mwana wa ndugu ya baba yangu, wale mashahidi walioandika kwenye hati ya ununuzi, na Wayahudi wote waliokuwa wameketi katika Ua wa Walinzi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki