1Basi katika siku ambazo waamuzi+ walikuwa wakitekeleza hukumu,* kulikuwa na njaa kali nchini; na mwanamume fulani akatoka Bethlehemu+ huko Yuda akahamia katika mashamba ya* Moabu akiwa mgeni,+ yeye, pamoja na mke wake, na watoto wake wawili wa kiume.