Mwanzo 46:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Wana wa Yuda+ walikuwa Eri, Onani, Shela,+ Perezi,+ na Zera.+ Lakini Eri na Onani walikufa katika nchi ya Kanaani.+ Wana wa Perezi walikuwa Hezroni na Hamuli.+ Hesabu 26:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Na wana wa Perezi walikuwa: kutoka kwa Hezroni,+ ukoo wa Wahezroni; kutoka kwa Hamuli,+ ukoo wa Wahamuli. 1 Mambo ya Nyakati 2:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Wana wa Perezi walikuwa Hezroni na Hamuli.+
12 Wana wa Yuda+ walikuwa Eri, Onani, Shela,+ Perezi,+ na Zera.+ Lakini Eri na Onani walikufa katika nchi ya Kanaani.+ Wana wa Perezi walikuwa Hezroni na Hamuli.+
21 Na wana wa Perezi walikuwa: kutoka kwa Hezroni,+ ukoo wa Wahezroni; kutoka kwa Hamuli,+ ukoo wa Wahamuli.