-
1 Mambo ya Nyakati 2:9-15Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
9 Wana waliozaliwa na Hezroni walikuwa Yerahmeeli,+ Ramu,+ na Kelubai.*
10 Ramu alimzaa Aminadabu.+ Aminadabu akamzaa Nashoni+ mkuu wa wazao wa Yuda. 11 Nashoni akamzaa Salma.+ Salma akamzaa Boazi.+ 12 Boazi akamzaa Obedi. Obedi akamzaa Yese.+ 13 Yese akamzaa mzaliwa wake wa kwanza Eliabu, wa pili Abinadabu,+ wa tatu Shimea,+ 14 wa nne Nethaneli, wa tano Radai, 15 wa sita Ozemu, na wa saba Daudi.+
-