2 Samweli 7:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Sasa mwambie hivi mtumishi wangu Daudi: ‘Yehova wa majeshi anasema hivi: “Nilikutoa malishoni, ili usiendelee kuchunga kondoo,+ uwe kiongozi wa watu wangu Waisraeli.+ 1 Mambo ya Nyakati 2:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Yese akamzaa mzaliwa wake wa kwanza Eliabu, wa pili Abinadabu,+ wa tatu Shimea,+ 1 Mambo ya Nyakati 2:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 wa sita Ozemu, na wa saba Daudi.+
8 Sasa mwambie hivi mtumishi wangu Daudi: ‘Yehova wa majeshi anasema hivi: “Nilikutoa malishoni, ili usiendelee kuchunga kondoo,+ uwe kiongozi wa watu wangu Waisraeli.+