19 Wakaamka asubuhi na mapema na kuinama mbele za Yehova, kisha wakarudi nyumbani kwao kule Rama.+ Elkana akafanya ngono na Hana mke wake, na Yehova akamkumbuka.*+
17 Lakini alikuwa akirudi Rama,+ kwa sababu nyumba yake ilikuwa huko, na huko pia alitumikia akiwa mwamuzi wa Israeli. Alimjengea Yehova madhabahu huko.+