Kutoka 12:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa maana nitapita katikati ya nchi ya Misri usiku huo na kumuua kila mzaliwa wa kwanza katika nchi ya Misri, kuanzia mwanadamu mpaka mnyama;+ nami nitatekeleza hukumu dhidi ya miungu yote ya Misri.+ Mimi ni Yehova. 1 Mambo ya Nyakati 16:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Miungu yote ya mataifa ni miungu ya ubatili,+Lakini Yehova ndiye aliyeziumba mbingu.+ Zaburi 97:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Wote wanaoabudu sanamu yoyote ya kuchongwa na waaibishwe,+Wale wanaojigamba kuhusu miungu yao ya ubatili.+ Mwinamieni,* enyi miungu yote.+
12 Kwa maana nitapita katikati ya nchi ya Misri usiku huo na kumuua kila mzaliwa wa kwanza katika nchi ya Misri, kuanzia mwanadamu mpaka mnyama;+ nami nitatekeleza hukumu dhidi ya miungu yote ya Misri.+ Mimi ni Yehova.
7 Wote wanaoabudu sanamu yoyote ya kuchongwa na waaibishwe,+Wale wanaojigamba kuhusu miungu yao ya ubatili.+ Mwinamieni,* enyi miungu yote.+