1 Samweli 4:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Isitoshe, Sanduku la Mungu lilitekwa, na wana wawili wa Eli, Hofni na Finehasi, wakafa.+ 1 Samweli 5:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Wafilisti walipoliteka Sanduku la Mungu+ wa kweli walilibeba kutoka Ebenezeri mpaka Ashdodi. Zaburi 78:61 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 61 Aliacha ishara ya nguvu zake ipelekwe utekwani;Fahari yake itiwe mikononi mwa adui.+