Waamuzi 1:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kisha watu wa kabila la Yuda wakateka Gaza+ na eneo lake, Ashkeloni+ na eneo lake, na Ekroni+ na eneo lake. 1 Samweli 5:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Basi wakalipeleka Sanduku la Mungu wa kweli kule Ekroni,+ lakini mara tu Sanduku la Mungu wa kweli lilipofika Ekroni, Waekroni wakaanza kulia kwa sauti wakisema: “Wametuletea Sanduku la Mungu wa Israeli ili watuue sisi pamoja na watu wetu!”+
18 Kisha watu wa kabila la Yuda wakateka Gaza+ na eneo lake, Ashkeloni+ na eneo lake, na Ekroni+ na eneo lake.
10 Basi wakalipeleka Sanduku la Mungu wa kweli kule Ekroni,+ lakini mara tu Sanduku la Mungu wa kweli lilipofika Ekroni, Waekroni wakaanza kulia kwa sauti wakisema: “Wametuletea Sanduku la Mungu wa Israeli ili watuue sisi pamoja na watu wetu!”+