1 Samweli 12:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Mkimwogopa Yehova+ na kumtumikia+ na kuitii sauti yake+ na msipoasi agizo la Yehova, na ikiwa ninyi pamoja na mfalme anayewatawala mtamfuata Yehova Mungu wenu, itakuwa vyema. Zaburi 111:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kumwogopa Yehova ni mwanzo wa hekima.+ ש [Sin] Wale wote wanaotii maagizo yake wana ufahamu mzuri.+ ת [Taw] Sifa yake hudumu milele. Mhubiri 12:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Huu ndio umalizio, baada ya mambo yote kusikiwa: Mwogope Mungu wa kweli+ na ushike amri zake,+ kwa maana huu ndio wajibu wote wa mwanadamu.+
14 Mkimwogopa Yehova+ na kumtumikia+ na kuitii sauti yake+ na msipoasi agizo la Yehova, na ikiwa ninyi pamoja na mfalme anayewatawala mtamfuata Yehova Mungu wenu, itakuwa vyema.
10 Kumwogopa Yehova ni mwanzo wa hekima.+ ש [Sin] Wale wote wanaotii maagizo yake wana ufahamu mzuri.+ ת [Taw] Sifa yake hudumu milele.
13 Huu ndio umalizio, baada ya mambo yote kusikiwa: Mwogope Mungu wa kweli+ na ushike amri zake,+ kwa maana huu ndio wajibu wote wa mwanadamu.+