-
Yoshua 18:11, 12Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
11 Kabila la Benjamini liligawiwa urithi wao kwa kura kulingana na koo zao, walipewa urithi kati ya kabila la Yuda+ na wazao wa Yosefu.+ 12 Mpaka wao wa kaskazini ulianzia Yordani, na kwenda kaskazini kwenye mteremko wa Yeriko+ na kupanda mlimani upande wa magharibi, hadi katika nyika ya Beth-aveni.+
-