1 Samweli 1:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Basi siku moja Hana alisimama baada ya wao kumaliza kula na kunywa huko Shilo. Wakati huo, kuhani Eli alikuwa ameketi kwenye kiti karibu na mwimo wa mlango wa hekalu*+ la Yehova.
9 Basi siku moja Hana alisimama baada ya wao kumaliza kula na kunywa huko Shilo. Wakati huo, kuhani Eli alikuwa ameketi kwenye kiti karibu na mwimo wa mlango wa hekalu*+ la Yehova.