4 Samweli alifanya mambo aliyoambiwa na Yehova. Alipofika Bethlehemu,+ wazee wa jiji walitetemeka walipokutana naye, wakamuuliza: “Je, umekuja kwa amani?”
18 Mtumishi mmoja akasema: “Tazama! Nimeona mwana fulani wa Yese Mbethlehemu anavyopiga kinubi kwa ustadi, ni mtu jasiri na shujaa hodari.+ Ana ustadi wa kuongea, ana sura nzuri,+ na Yehova yuko pamoja naye.”+