11 Ndipo watu wote waliokuwa katika lango la jiji na wale wazee wakasema: “Sisi ni mashahidi! Yehova na ambariki mke anayekuja nyumbani mwako ili awe kama Raheli na Lea, ambao walijenga nyumba ya Israeli.+ Ufanikiwe katika Efratha+ na ujijengee jina zuri* katika Bethlehemu.+
6 Ikiwa baba yako atanikosa, mwambie, ‘Daudi alinisihi nimruhusu aende mara moja katika jiji lake la Bethlehemu,+ kwa sababu kuna dhabihu ya kila mwaka huko kwa ajili ya familia yote.’+