13 Ni lazima umwambie kwamba ninailetea nyumba yake hukumu ya kudumu kwa sababu ya dhambi ambayo anaijua,+ kwa maana wanawe wanamtukana Mungu,+ lakini hajawakemea.+ 14 Ndiyo sababu nimeiapia nyumba ya Eli kwamba dhambi ya nyumba ya Eli haitafunikwa kamwe kwa dhabihu au kwa matoleo.”+