Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 11:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Waanaki hawakubaki katika nchi ya Waisraeli; walibaki+ tu Gaza,+ Gathi,+ na Ashdodi.+

  • 1 Samweli 5:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Basi wakatuma ujumbe na kuwakusanya watawala wote wa Wafilisti na kuwauliza: “Tulifanyie nini Sanduku la Mungu wa Israeli?” Wakajibu: “Acheni Sanduku la Mungu wa Israeli lihamishiwe kule Gathi.”+ Basi wakalihamishia huko Sanduku la Mungu wa Israeli.

  • 1 Samweli 17:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Kisha shujaa mmoja akatoka katika kambi za Wafilisti; aliitwa Goliathi,+ kutoka Gathi,+ alikuwa na urefu wa mikono sita na shubiri moja.*

  • 1 Samweli 27:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Basi Daudi akaondoka pamoja na wanaume 600+ waliokuwa naye, akavuka kwenda kwa Akishi+ mwana wa Maoki, mfalme wa Gathi.

  • Zaburi 56:utangulizi
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • Kwa kiongozi; umepatanishwa na mtindo wa “Njiwa Mnyamavu Aliye Mbali.” Wa Daudi. Miktamu.* Wafilisti walipomkamata kule Gathi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki