1 Samweli 25:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Mara moja Daudi akawaambia wanaume wake: “Kila mtu ajifunge upanga wake!”+ Basi wote wakajifunga panga zao, na Daudi pia akajifunga upanga wake mwenyewe, na wanaume wapatao 400 wakapanda pamoja na Daudi, huku wanaume 200 wakibaki na mizigo. 1 Samweli 30:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Mara moja Daudi akaondoka na wanaume 600+ waliokuwa pamoja naye, wakaenda mpaka kwenye Korongo* la Besori, na wanaume kadhaa wakabaki hapo.
13 Mara moja Daudi akawaambia wanaume wake: “Kila mtu ajifunge upanga wake!”+ Basi wote wakajifunga panga zao, na Daudi pia akajifunga upanga wake mwenyewe, na wanaume wapatao 400 wakapanda pamoja na Daudi, huku wanaume 200 wakibaki na mizigo.
9 Mara moja Daudi akaondoka na wanaume 600+ waliokuwa pamoja naye, wakaenda mpaka kwenye Korongo* la Besori, na wanaume kadhaa wakabaki hapo.